Sekta binafsi iunge mkono upinzani waziwazi?


ZeMarcopolo, hebu fikiria nafasi aliyokuwa nayo mtu mweusi kutwaa uongozi nchini marekani. Kama Obama angekuwa na msimamo kama huu wako, kweli angethubutu kugombea ? Unaonekana wazi ama umekata tamaa au unajaribu kuwakatisha tamaa wanaotaka mabadiliko hapa nchini. Jesse Jackson alimbeza Obama mwanzoni lakini amekuwa wa kwanza kumwaga machozi ya furaha. I do sure agree that it is an uphill task but just like Obama has proved, nothing is impossible.

Unalaumu upinzani lakini unasahau vizingiti wanavyowekewa na CCM. Je, unakumbuka mikakati ya kuanzisha baraza la wanawake (BAWATA) ilivyopigwa vita na CCM kwa hofu tu ingewaunganisha wanawake bila kujali itikadi zao. CCM inatumia "divide and rule" kama silaha ya kung'ang'ania madaraka - iwe wanawake, vijana, wazazi, mpaka watoto wa shule bila kusahau wafanya biashara. Na kwa kuwa ni vigumu kujua mipaka ya DOLA na CCM inaanzia na kuishia wapi - upinzani umebanwa kiasi cha kukosa hewa ambayo ni muhimu kwa uhai wake.

Lakini kwa kuwa hakuna lisilo na mwisho, naamini CCM kuna siku itapigwa chini na siku hiyo sidhani iko mbali kama unavyofikiria.
 
Wapinzani wajisaidie wenyewe kwanini wasaidiwe??

Hili ndilo tatizo letu kama mpinzani hana sera apotelee mbali tutafute watu wenye sera na uwezo wa kumudu vitu vidogo vidogo kama hivyo.

Hili swala la kusaidia ni JANGA la KITAIFA.
Yani linatisha hivi sasa Mtanzania akishikwa na tatizo kidogo tu badala ya kuanza kukaa chini na kutafuta majawabu ya matatizo yake ,yeye ana angalia ni ndugu yupi atanisaidia .Hili ni janga la kitaifa
 

Mag3 naona unachanganya mambo hapa. Swala la Obama na wapinzani wa Tanzania halina uhusiano. Ukisoma vizuri mchango wangu utaona nimesema vyama vya upinzani kwa muundo na utekelezaji wake ulivyo hivi sasa. Sijasema haiwezekani, ila nimesema kuwa wapinzani hawajaonyesha dalili uwezo huo mpaka hivi sasa.Hivyo baso sishangai kuona general tyre na makampuni mengine wakisita kuchangia program za vyama hivyo. CCM pamoja na kubezwa na wengi hapa JF lakini, objective analysers would see the difference in the structure and strategies between CCM and Tanzanian opposition parties.
 

I agree with you entirely on that. But the problem here is that the period within which the opposition will become a significant political and economic force is relatively distant 20years (maybe), so in the eyes of short term focused Tanzanian enterprises.. that is a non-issue. They will deal with it when it becomes an issue or at least it's nearby. And besides, when CCM doesnt have a challenger, no one wants to put himself in a position to receive its wrath.lol

Muulizeni Bakhresa walivyotaka kumpoteza! he was confronted with backtaxes beyond his understanding... and one of his installations burned down... CUF was the reason. Jamaa kawachunia CUF, right now his annual turnover stands at a total of 100 million dollars! Ataingekuwa wewe!
 
Hii habari ya Bakhresa si kweli ile ngano haikuchomwa kwa sababu za kisiasa na huyu jamaa hana mafungamano yeyote na cuf fitna tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…