Sekta ya Ujenzi Yachangia Asilimia 14 ya Pato la Taifa

Sekta ya Ujenzi Yachangia Asilimia 14 ya Pato la Taifa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita.

Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni Jijini Dodoma

Amesema wastani wa mchango wa Sekta katika Pato la Taifa katika kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2012 hadi 2022 ni asilimia 14.

“Serikali imekuwa ikitenga fedha nyingi kila mwaka kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa na makandarasi kutoka ndani na nje ya nchi.“
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-05-29 at 11.37.41.jpeg
    WhatsApp Image 2024-05-29 at 11.37.41.jpeg
    278.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom