Sekta ya utalii bado imelala!!!

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,508
Reaction score
11,897
Kitendo cha nchi ya kenya kumpa zawadi ya MTOTO WA DUMA bingwa mkimbiaji wa mita 100 Duniani kimeipa sekta ya utalii kenya sura ya pekee kwani imekua ni tangazo tosha katika vyombo vya habari duniani!jee TANZANIA tumewahi kutoa zawadi kama hiyo au kujitambulisha kwa namna hiyo kwa wageni maarufu watembeleapo vivutio vyetu vya utalii?namna hii tusilalamike watalii wote kufikia kenya,kisha tanzania kuja kana kwamba bado wapo ndani ya kenya.SISI TUNAPEANA ZAWADI ZA BELESHI YA DHAHABU NA VINYAGO TUU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…