Deghe Mangae
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 171
- 149
Kama una mawazo mapana hizi Idara
Nizakutupia jicho pana mno;
1. KILIMO
2. UFUGAJI
3. AFYA
Huwezi kuzungu Afya kama bila chakula
Utatu huo ndiyo mpango mzima wa kila
kitu kimaendeleo kwa namna moja au
nyingine kwani kila utakacho utakipata
kupitia utatu huo nikiboresha zaidi serikali yetu ijikite zaidi kwenye kilimo cha umwagiliaji na inawezekana lakini itoe ajira kwa usawa kwenye utatu huu.
Kumbuka Afya ni kilimo, Afya ni ufugaji. Naomba serikali ilione hili kwa 100%
Nizakutupia jicho pana mno;
1. KILIMO
2. UFUGAJI
3. AFYA
Huwezi kuzungu Afya kama bila chakula
Utatu huo ndiyo mpango mzima wa kila
kitu kimaendeleo kwa namna moja au
nyingine kwani kila utakacho utakipata
kupitia utatu huo nikiboresha zaidi serikali yetu ijikite zaidi kwenye kilimo cha umwagiliaji na inawezekana lakini itoe ajira kwa usawa kwenye utatu huu.
Kumbuka Afya ni kilimo, Afya ni ufugaji. Naomba serikali ilione hili kwa 100%