Selcom kulikoni??

Selcom kulikoni??

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,296
Reaction score
18,027
Nimefanya muamala toka mmoja ya mitandao ya simu kwenda Selcom. Kama kawaida imekuja message kwamba hela imeingia account yangu ya Selcom na salio linaonyesha imekatwa tayari. Siku zote hufanya hivyo na mara ya mwisho ilikuwa Taifa Stars vs Harambee Stars

Sasa kimbembe ni kukata tiketi. Baada ya kuingiza*150*50# message inayokuja inasema: Your Selcom card profile has been disabled. Nimekwama jumla. Number yao ya Customer Care hawapokei simu (0786190901)
Sijui kama ni mimi tu au Selcom wameamua kuvuruga kilele cha siku ya Wananchi.
 
Nimefanya muamala toka mmoja ya mitandao ya simu kwenda Selcom. Kama kawaida imekuja message kwamba hela imeingia account yangu ya Selcom na salio linaonyesha imekatwa tayari. Siku zote hufanya hivyo na mara ya mwisho ilikuwa Taifa Stars vs Harambee Stars

Sasa kimbembe ni kukata tiketi. Baada ya kuingiza*150*50# message inayokuja inasema: Your Selcom card profile has been disabled. Nimekwama jumla. Number yao ya Customer Care hawapokei simu (0786190901)
Sijui kama ni mimi tu au Selcom wameamua kuvuruga kilele cha siku ya Wananchi.
Hawa jamaa kuna hujuma wanafanya. Leo kariakoo kuna mahali nimeenda kukuata ticket kwa ajili ya kesho, kwanza kaniuliza ticket ya Simba au Yanga, nikamwambia ebooo, mile nataka tikect ya kesho kuwaona wananchi, unajua ni mini nimeambulia mkuu.....imenibidi niende makao makuu ya yanga ndipo nimepata ticket, ila hii scenario nikahiripoti kwa wahusika, wakasema wanaifanyia kazi.
 
Changamoto nyingine ni jezi, jezi hazipatikani mji mzima, hata hapo klabuni makao makuu hakuna, watu nyomi wanasubiria hapo nje, wanaambiwa jezz zitaingia SAA 9.00 mchana, Mimi nimechemsha nikaondoka zangu, kesho natinga ya zamani tu.
 
Hawa jamaa kuna hujuma wanafanya. Leo kariakoo kuna mahali nimeenda kukuata ticket kwa ajili ya kesho, kwanza kaniuliza ticket ya Simba au Yanga, nikamwambia ebooo, mile nataka tikect ya kesho kuwaona wananchi, unajua ni mini nimeambulia mkuu.....imenibidi niende makao makuu ya yanga ndipo nimepata ticket, ila hii scenario nikahiripoti kwa wahusika, wakasema wanaifanyia kazi.
It seems kuna namna sio bure. Kuingiza muamala inakubali. Kukata tiketi haikubali. Washenzi sana hawa
 
Hawa jamaa kuna hujuma wanafanya. Leo kariakoo kuna mahali nimeenda kukuata ticket kwa ajili ya kesho, kwanza kaniuliza ticket ya Simba au Yanga, nikamwambia ebooo, mile nataka tikect ya kesho kuwaona wananchi, unajua ni mini nimeambulia mkuu.....imenibidi niende makao makuu ya yanga ndipo nimepata ticket, ila hii scenario nikahiripoti kwa wahusika, wakasema wanaifanyia kazi.
Hahaha mnatapatapa sana
Simba nguvu moja 💪
 
Hawa jamaa kuna hujuma wanafanya. Leo kariakoo kuna mahali nimeenda kukuata ticket kwa ajili ya kesho, kwanza kaniuliza ticket ya Simba au Yanga, nikamwambia ebooo, mile nataka tikect ya kesho kuwaona wananchi, unajua ni mini nimeambulia mkuu.....imenibidi niende makao makuu ya yanga ndipo nimepata ticket, ila hii scenario nikahiripoti kwa wahusika, wakasema wanaifanyia kazi.
Hahaha Vita ni Vita Muraa! Pole sana
 
Amekwambia nini huyo nguchiro asiyetaka biashara?
Hawa jamaa kuna hujuma wanafanya. Leo kariakoo kuna mahali nimeenda kukuata ticket kwa ajili ya kesho, kwanza kaniuliza ticket ya Simba au Yanga, nikamwambia ebooo, mile nataka tikect ya kesho kuwaona wananchi, unajua ni mini nimeambulia mkuu.....imenibidi niende makao makuu ya yanga ndipo nimepata ticket, ila hii scenario nikahiripoti kwa wahusika, wakasema wanaifanyia kazi.
 
kwanza kaniuliza ticket ya Simba au Yanga, nikamwambia ebooo, mile nataka tikect ya kesho kuwaona wananchi, unajua ni mini nimeambulia mkuu.....
Sidhani kama ni hujuma za makusudi huenda ni bahati mbaya tu! Kesho jazeni uwanja angalau klabu ipate mapato.
 
Back
Top Bottom