flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
tembelea website yao aru.ac.tz wameweka form zote but sijui wamesahau au vipi kuweka admission latter..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tembelea website yao aru.ac.tz wameweka form zote but sijui wamesahau au vipi kuweka admission latter..
kumbe we ndugu allen mwitaa hahaahaa safi
kumbe mura umekua landcruiser siku hizi.
nambie kijanaa, heheheh
heheheh sikwami kwenye tope
chuo namba moja tanzania..
miongoni mwa chuo bora TANZANIA
ONYO; ctaki malumbano
Anayebisha shauri yake
Bora wewe kidogo umegundua chochote,ndio maana uka.hands-up mapema
Komaa dogo uclas itakutoa
dogo muhimbili umekosa nw umepata udsm pamoja sanaa dgo
Baba huwa anafurahi zaidi ya mtoto pale mtoto anapoanza kuishi pekeyake na kujitegemea.....
Hongereni sana aru (ud)
Muhas was my 2nd selection but md was my desire's priority, lakini kwasababu ya upepo wa pesa na opportunity za mkwanja nkajitupa petroleum/ufuta (udsm udsm udsm) BABA LAOOO
mkuu samahani naomba ufafanuzi hapo hivi aru ilikua sehemu ya UD au una maanisha nini...?
yaah aru ilikuwa ud imeanza kujitegemea march 2007