Selection fom 5 zatangazwa leo!

De black

Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
52
Reaction score
0
East Africa Radio @earadiofm 25s Majina ya wanafunzi
waliochaguliwa kujiunga kidato
cha 5 yanatangazwa sasa na
Naibu waziri wa elimu, Philipo
Mulugo. #2013KidatoCha5
 
Ukweli kabisa hata mi nimeskia sasa madogo bora msepe.
 
Hii hapa taarifa ya earadioEast Africa Radio @ earadiofm 43m
Ukitoa idadi ya waliopunguzwa, wanafunzi 33,683 ndio wamepata nafasi ya kidato 5, wasichana ni 10,3000 na wavulana 23,383. #2013KidatoCha5
View details ·
na link ya e.a.radio hii hapahttps://mobile.twitter.com/earadiofm
 
Hii hapa tena taarifa ya earadioEast Africa Radio @ earadiofm 44m
Wanafunzi wote waliochaguliwa kuingia kidato cha 5, wanatakiwakuripoti shuleni tarehe 29 mwezi huu wa 7. #2013KidatoCha5 ·
https://mobile.twitter.com/earadiofm
 
Opera min we mkali balaa du endeleeea kutupa update
 
Mulugo bwana, Kweli barua ni haraka kuzidi mtandao? Unawezaji kutuma majina hayo yote kwa barua ushindwe kuweka kwenye mtandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…