Selection form V wakuu wa shule wachinjiwa baharini

Kun Jr

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
700
Reaction score
362
Katika hali isiyo ya kawaida kwa taarifa nlizonazo ni kuwa ktk selection ilofanyika A.T.C ni kuwa wakuu wa shule walokutana kufanye selection walikuwa 54 tu nikajiuliza je tz kuna shule za advance 54 tu? Na je selection ilifanyikaje? Pia waloenda kufanya selection walichaguliwa vigezo vipi?

source mwalimu mkuu ambaye hakwenda selection
 
ni true mfano niliangalia list Mkoa wa Tabora walikuwa 2 tu
 
ni true mfano niliangalia list Mkoa wa Tabora walikuwa 2 tu

haa!!! Kweeli hii ndo tz+uccm >>>>mambomrama mikoa mingine je tunataka update kutoka kwenuu
 
Lakini post zenyewe wanatoa lini Mkuu?

kwa info nlizonazo ni kuwa majina yashapelekwa mashuleni baada ya muda mfupi joining instruction zitatumwa mashuleni
 
tunasubiri, watoto wamechoka sana kuuza karanga
 

hii ndo tanzania bwana....yan shule 4000 nakitu ma headmaster wameenda 54 tu
 

inawezekana hizo habari ni za kweli cs hata Headmaster wa shule nilyomalza mimi o-level Makita High school Mbinga, rvm cjamuona kuxepa.. Dah haya majangaz..
 

wewe uliambiwa huwa wanaenda wote?
Siku zote huwa hawaendi wote ni baadhi ya shule tu ndio huwa wanaingia kwenye hiyo Panel ya selection kisha wanachagua wanafunzi kwenye shule zote za serikall zote
 

Kwani lazima waende wote? Hoja yako ni nini haswa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…