frank wa moyo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 480
- 113
omba clinical officer achana na habari za advance unapoteza muda mwishowe utage huko CBG
ljaman wana jf,naomben msaada wenu mm nimehitimu kidato cha nne na nimepata dv iii 29 lakin comb yangu n CBG but alama za ufaulu m chemistry C,biologyB na geography D.je?nitachaguliwa kuendelea na advance?
kwanza nikupongeze dogo, mbona upo matawi, kwa elimu ya kitanzania hata mwenye div 5 naye ataenda maana si unajua madarasa kibao na hayana wanafunzi, mtindo ni ule ule wa primary kwenda sekondari, hata asiyejua kusoma na kuandika naye anatinga form 1, anza tu kupasha, form five yako.
Hiyo Clinical officer mbona Mnaichukulia easy sana ?
jaman wana jf,naomben msaada wenu mm nimehitimu kidato cha nne na nimepata dv iii 29 lakin comb yangu n CBG but alama za ufaulu m chemistry C,biologyB na geography D.je?nitachaguliwa kuendelea na advance?
kwanza we snipa unaifahamu vzur hyo koz?