Selection status-not yet processed

Selection status-not yet processed

SWEET GIRL

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
520
Reaction score
377
Wadau naomba msaada nifanyeje kwani mimi nikiingia kwenye akaunti yangu ya TCU napata kama ifuatavyo
SELECTION STATUS-NOT YET PROCESSED sasa sielewi kama niko admitted au vipi na pia kwenye majina ya TCU yaliyotolewa jana ya watu ambao hawajachaguliwa jina langu halimo sasa nipo kwenye hali ya sintofahamu please naomba msaada wenu nifanyeje
 
Wadau naomba msaada nifanyeje kwani mimi nikiingia kwenye akaunti yangu ya TCU napata kama ifuatavyo
SELECTION STATUS-NOT YET PROCESSED sasa sielewi kama niko admitted au vipi na pia kwenye majina ya TCU yaliyotolewa jana ya watu ambao hawajachaguliwa jina langu halimo sasa nipo kwenye hali ya sintofahamu please naomba msaada wenu nifanyeje

Nenda kweny akaunti yako, bofya my profile, then bofya view my selection status utapata jibu conclusive!
 
Wadau naomba msaada nifanyeje kwani mimi nikiingia kwenye akaunti yangu ya TCU napata kama ifuatavyo
SELECTION STATUS-NOT YET PROCESSED sasa sielewi kama niko admitted au vipi na pia kwenye majina ya TCU yaliyotolewa jana ya watu ambao hawajachaguliwa jina langu halimo sasa nipo kwenye hali ya sintofahamu please naomba msaada wenu nifanyeje


Mimi mwenyewe nina tatizo kama la kwako. Toka tetesi zianze naangalia nakuta kozi zote zimeandikwa not yet processed. Kwenye orodha ya waliokosa simo, pia kwenye vyuo nilivyoomba badhi matokeo yameshtoka kama udsm, udom, mwenge mi simo. Ila niliomba choice ya kwanza Makumira ila nashindwa kujua matokeo yao yametoka ama la maana kwenye tovuti yao sijaona. msaada tafadhali maana hii pressure ni kubwa mno
 
Mimi mwenyewe nina tatizo kama la kwako. Toka tetesi zianze naangalia nakuta kozi zote zimeandikwa not yet processed. Kwenye orodha ya waliokosa simo, pia kwenye vyuo nilivyoomba badhi matokeo yameshtoka kama udsm, udom, mwenge mi simo. Ila niliomba choice ya kwanza Makumira ila nashindwa kujua matokeo yao yametoka ama la maana kwenye tovuti yao sijaona. msaada tafadhali maana hii pressure ni kubwa mno

Kuna ndugu yangu anatatizo kama lako, nilipost hapa kuomba namba ya TCU, namshukuru Lordvile aliyenipatia namba hii kuwasiliana na mtu aliyeko TCU ambaye baada ya kumweleza alikataa kuwa hakuna tatizo kama hilo, namba yake ni 0712 722684
 
Mpangamji nashukuru sana maana sina hata amani, siku za kuomba tena nazo zinayoyoma isije kula kwangu ngoja nijaribu kumpigia nione ataniambiaje na mimi,
 
Mpangamji nashukuru sana maana sina hata amani, siku za kuomba tena nazo zinayoyoma isije kula kwangu ngoja nijaribu kumpigia nione ataniambiaje na mimi,

Mkuu nimegundua tatizo ni internet explorer, tumia firefox utapata majibu yako vizuri
 
Wadau naomba msaada nifanyeje kwani mimi nikiingia kwenye akaunti yangu ya TCU napata kama ifuatavyo
SELECTION STATUS-NOT YET PROCESSED sasa sielewi kama niko admitted au vipi na pia kwenye majina ya TCU yaliyotolewa jana ya watu ambao hawajachaguliwa jina langu halimo sasa nipo kwenye hali ya sintofahamu please naomba msaada wenu nifanyeje
Tumia firefox itakuonyesha vizuri, internet explorer haionyeshi sijui kwa sababu zipi
 
Back
Top Bottom