Selection status-tcu

yaani humu waropokaji utawajua tu.

Pole sana kijana ila hapa utasubiri sana,Chukua time ya kujifunza ukiwa Jf na siyo kukurupuka kama unaingia kwenye viblog vyenu,nilichokiandika GT kaelewa sijui wewe wa jana.
Utasubiri sana ila kumbuka hapa hatupo kuanzisha Thread uchwara afu tuchangie,mnajaza server kwa post zisizo na mashiko.
Ni Quote tena.
 
me yangu wameandika not yet processed , ina maana ndo wanaenda kwa awamu au...! and so if it has been processed does it mean umeshapata chuo or...!
 
Aisee nimecheka sana!
Mbwiga88 hujambo?
Bosi wa TCU ambaye anasubiria kwenda jkt(form six)
 
Last edited by a moderator:

Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri,kulewa na kuchambua mambo,kama mim nilikosea ulipaswa kunisahisha na sio kutoa POVU,Kama posti yangu haikuwa na mashiko basi wahusika wangeitoa sio wewe,sasa nikuulize kati ya mimi niliyetoa thread mbovu na wewe uliyeacha kazi zako na kukesha jf kuchangia thread mbovu nani KAKURUPUKA?,Kweni jf chumbani kwako hadi ulalamike kuwa tunajaza thread mbovu?,kazi kichwa ni zaidi ya kubeba nywele mkuu,haya sasa nimeku-quote tena what next?
 
me yangu wameandika not yet processed , ina maana ndo wanaenda kwa awamu au...! and so if it has been processed does it mean umeshapata chuo or...!

processed maana yake washaifanyia kazii! Duuh we had leo bdoo! Vp umejaza 2nd round nn?
 

Rudia tena Gt
 
sio kila mtu anaenda jeshi! Mi nimekataa kwenda jeshi kwa makusudi kwani kuna tatizo?! Nasubili nichukuliwe hatua kali za kisheria walizosema.

una jingine la kuongezea.... Nakusubili nijibu hoja zako zote boss wa tcu!
 
sio kila mtu anaenda jeshi! Mi nimekataa kwenda jeshi kwa makusudi kwani kuna tatizo?! Nasubili nichukuliwe hatua kali za kisheria walizosema.

hahaha ongea ukweli kijana.....wewe inaonekana kuna tatizo mahali coz maelezo yako hayajitoshelezi kabisa
 
teh teh teh unafikiri najichanganya kama wewe au unataka malumbano ya hoja?!
hahaha endelea kufikiri hvohvo kwamba najichanganya....na namba yako ya form 6 ninayo tutaona nani mjanja

[TD="width: 6%"] S1199/0519
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 11
[/TD]
[TD="width: 4%"] II
[/TD]
[TD="width: 58%"] G/STUDIES-S HISTORY-D KISWAHILI-D ENGLISH-C
[/TD]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…