Mkuu mbona unanitisha kwa hizo takwimu
Lini Post 2mechokaaa!!
kati ya tar.1 june-16 june will be out bt mkae mkijua watu 27,000 wameachwa kati ya 73,853
vuta subira bado hujakaa kitaa wenzio tulikaa miaka hata hatulaum
HV ukiwa na credit 2.1 unaweza kuchaguliwa form five?
Ukiwa Na 2.4 Je Unaenda Five?
Nadhani wengi watapata shule maana siasa zimeshapenya kwenye elimu bongo.
Aisee Mkuu hili naliunga mkono kwa asilimia mia...maana nilichokiona mimi huku aibu hata kusema...!
umeona nn mkuu?
kati ya tar.1 june-16 june will be out bt mkae mkijua watu 27,000 wameachwa kati ya 73,853
ila kwa kweli wizara husika mmetukomesha hata tetesi za kwamba post znatoka lini hakuna,lakini watawapa kazi sana wazazi wetu kwa sababu muda wa kujiandaa ni mfupi sana na shule zitakapo funguliwa,EWE WIZARA HUSIKA EBU SIKIENI KILIO CHETU