Omarion emmyriano
Member
- Sep 7, 2018
- 94
- 30
u cant be seriousKama nitakuwa nimemwelewa vizuri mleta Mada, kwa Kweli kitendo anachofanya mwenye nyumba cha kuwapandishia Wapangaji Kodi kila Mkataba unapoisha sio Kizuri. Halafu hafanyi marekebisho yoyote, Choo Kibovu, rangi vyumbani imechoka na kuna baadhi ya vyumba vinavuja. Yeye akipata pesa ni pombe tu.
Kaka ipo hivi hapo UDOM Diploma selection Kwanza huwa zinachelewa sana tu Yaan unaweza subiri ukakata tamaa kabisa..Zaid Mara nyingi huwezi kuona majibu kwenye zile Profile hata Kama utafanikiwa kulog in hutakuta status yoyote wanachelewa Sana kuweka..Mara nyingi huwa wanatype majina kwenye website yao kwa wale tu waliochaguliwa na inachukua hata week hv ndio unakuta wameweka status kuwa umekuwa selected programme flan au hawaweki kabisa.. Kuwa mvumilivu tu selection za Degree zisikutishe sana wanaweza tangaza Hadi second selection za Degree Ila diploma nothing!! Pia suala la Kusema umekosea Username au Password ni Mara nyingi hutokea na wao hufaham kbs Hilo tatizo
Kaka ipo hivi hapo UDOM Diploma selection Kwanza huwa zinachelewa sana tu Yaan unaweza subiri ukakata tamaa kabisa..Zaid Mara nyingi huwezi kuona majibu kwenye zile Profile hata Kama utafanikiwa kulog in hutakuta status yoyote wanachelewa Sana kuweka..Mara nyingi huwa wanatype majina kwenye website yao kwa wale tu waliochaguliwa na inachukua hata week hv ndio unakuta wameweka status kuwa umekuwa selected programme flan au hawaweki kabisa.. Kuwa mvumilivu tu selection za Degree zisikutishe sana wanaweza tangaza Hadi second selection za Degree Ila diploma nothing!! Pia suala la Kusema umekosea Username au Password ni Mara nyingi hutokea na wao hufaham kbs Hilo tatizo
Kwa level ipi rafiki Diploma au Degree!??Naomba nikuulize swali rafiki, hivi udom kuna round ngapi za Kuomba kujiunga, na round ipi ni rahisi kuchaguliwa?
Kwa level ipi rafiki Diploma au Degree!??
Diploma huwa wanaomba Mara moja tu mkuu hawana kuomba kwa Mara ya pili Tena..na Mara nyingii hawakuachi kabisa kukupa nafasi kwa programme uliyoomba kama umekizi vigezo Vyao..na ukikosa kwa sababu ya kujaa kwa admission capacity wanakupanga programme yoyote uliyokidhi vigezo regardless umeomba au hapana... Kiufupi huwa hawaachi mtu kabisa alieomba pale utapelekwa popote asa wewe komaa tu Uwe selected programme yoyote then nitakupa mchongo kuhamia programme utakayo mkuu wangu!!Kwa level ya diploma mkuu
Diploma huwa wanaomba Mara moja tu mkuu hawana kuomba kwa Mara ya pili Tena..na Mara nyingii hawakuachi kabisa kukupa nafasi kwa programme uliyoomba kama umekizi vigezo Vyao..na ukikosa kwa sababu ya kujaa kwa admission capacity wanakupanga programme yoyote uliyokidhi vigezo regardless umeomba au hapana... Kiufupi huwa hawaachi mtu kabisa alieomba pale utapelekwa popote asa wewe komaa tu Uwe selected programme yoyote then nitakupa mchongo kuhamia programme utakayo mkuu wangu!!