Siku nyyingi najiuliza selection za vyuo zinatumia programme gani. Si rahisi kuzifanya manualy kuwa mtu anaangali nani kapata nini, anawalinganisha then anapata mwenye sifa ja juu.
Mfano: Mtu wa Medicine anatakiwa awe na minimum point 6, lakini lazima awe na C kwenye chemistry. Programme gani inayachanganua hayo? Huyu ana CCD, AAC, BBC DDC kwenye medicine, kuna programme inafanya hayo? Itakuwa very smart!
Mfano: Mtu wa Medicine anatakiwa awe na minimum point 6, lakini lazima awe na C kwenye chemistry. Programme gani inayachanganua hayo? Huyu ana CCD, AAC, BBC DDC kwenye medicine, kuna programme inafanya hayo? Itakuwa very smart!