mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
unachekije mkuu
Sellection zimeshatoka!! Tembelea website za vyuo!
mkuu unatisha watu hvyo!! Sio selection, bt ni majina ya watu wanaotakiwa kuapply second round, i mean kwenye selection zao 5 za mwanzo hawajapataa hta moja! Swali, je waliopo jkt inakuaje?
Walioko jkt imekula kwao
Naona chuo mwaka huu ni mapema sana lile suala la january ni uzushi.
Walioko jkt imekula kwao
Ndio maana naichukia serikali sasa wenzetu waliopo jkt na wamekusanya simu,na kwa mazingira yale kupata in4 ni tatizo sana.
hahaahaaahaa![/QUOTunafurahia matatizo kwa mwenzio
Sitaki kuamini hivyo.....huu waraka utawafikia kule na watafanya applixation upya tu