Selection za tcu

vijana msiogope, hiyo ni kawaida kabsa, hizo status zitabadilika badae. Mshukuru Mungu kama jina lako halipo kwenye list ya wanaotakiwa kuomba upya, hyo inamaanisha kwamba jina lako limetumwa loan board kwa ajili ya mkopo, au pengne linasubri majina mengne yapangiwe mikopo ili kutangazwa rasmi ikiwa hauna vigezo vya kupata mkopo (inamaanisha chuo umepata, mkopo ndo endelea kumwomba Mungu).
 
Ukifungua profile yako then ukaclick kwenye view my selection status utajua kama umetemwa au la.Kama umetemwa unaandikiwa Sorry,you have not applied.Na hii inaweza kumkumba yeyote hasa wale wenye points ndogo ndogo hata kama mwanzo ulikuwa eligible pote.
 

Shukrani.....nilikua nafikria hivyo pia...
 
Duh kama haupo that means upo tayar kuchaguliwa naumekidh vigezo vyote so worry not for those ambao hatumo kwenye ile list thanks jesus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…