Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 661
dah!!! Kwa sifa nilizozisikia hapo???
Mpaka mamantilie huwa wanapigisha lecture hapo
Namshukuru mungu,nipo ndani ya TEKU. Shukrani pia mtoa habari.
mambo vp msafiri? nimependa text yk kwamba unashukur umepangwa teku.kwan mwenzangu teku uliiomba? mwenzio nimepangwa ila hata cjaiomba.:A S 465:
mambo vp msafiri? nimependa text yk kwamba unashukur umepangwa teku.kwan mwenzangu teku uliiomba? mwenzio nimepangwa ila hata cjaiomba.:A S 465: