Y yaasary Senior Member Joined Mar 26, 2011 Posts 110 Reaction score 59 Aug 11, 2014 #1 Habar tembeleeni website ya wizara ya kilimo kujionea majina wameweka tiyari
J jitukumbuka Member Joined Jan 21, 2014 Posts 17 Reaction score 2 Aug 11, 2014 #2 ivi nikienda kuombea chuon nitapata kweli?maana nimekuja jua juzi juzi tu wakubwa naomben ushauri
Y yaasary Senior Member Joined Mar 26, 2011 Posts 110 Reaction score 59 Aug 11, 2014 Thread starter #3 jitukumbuka said: ivi nikienda kuombea chuon nitapata kweli?maana nimekuja jua juzi juzi tu wakubwa naomben ushauri Click to expand... Jaribu; but inaonekana watu wengi sana walituma maombi co kulikuwa na very high competition
jitukumbuka said: ivi nikienda kuombea chuon nitapata kweli?maana nimekuja jua juzi juzi tu wakubwa naomben ushauri Click to expand... Jaribu; but inaonekana watu wengi sana walituma maombi co kulikuwa na very high competition
H haki na usawa JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 485 Reaction score 138 Aug 11, 2014 #4 Fanya mchongo wa kutoa kidogo (pesa) kwa wahusika utapata tu hata ukiwa na zero utaingia chuoni mishahara kwa watumishi siku zote haitoshi!
Fanya mchongo wa kutoa kidogo (pesa) kwa wahusika utapata tu hata ukiwa na zero utaingia chuoni mishahara kwa watumishi siku zote haitoshi!