Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kucheki selection yangu via simu naomba msaada wa hatua za kufuata, tafadhalini
Hakuna uongo hakuna mambo yalitoka lkn baadae waligundua habari hizi hazikutoka officially ndo maana ss hivi ukibahatika ikafunguka inasema processed wait for official announcement hivo ni kusubilia tuhzo inshu ni za uongo
Mim mwenyewe mkuu,nasikia tu kwamba kuna watu wameshaona walikopangiwa,toka jana naangaika bila msaada,du!:wave:
kwl ila 2meona ambao 2mewah kuchek kabla ya saa1 coz post zimetoka saa 9.30
@oilsumu ucpende kugeneralize v2 we ongea kwa niaba yako na co kujumuisha wengine