Selemani Mwalimu(25) leo tena amefunga goli lake la 6️⃣ ndani ya NBC Premier League,

Selemani Mwalimu(25) leo tena amefunga goli lake la 6️⃣ ndani ya NBC Premier League,

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Pure Talent 🔥 Mechi Nane za Ligi Kuu kaweka magoli mengi kuliko mchezaji yeyote hadi sasa kwa Msimu huu 2024-25

1729517863413.jpg

Muendelezo wake mbele ni wa kiwango cha juu saana na ndiye anaongoza orodha ya Wafungaji Bora wa Ligi Kuu hadi sasa! Leo amekabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Tisa na amefunga goli moja wakati Fountain Gate ikishinda 3-1 mbele ya KMC

Mwalimu anaongeza kwa Magoli na Fountain Gate wapo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu wakiwa na alama zao 16 nyuma ya Singida Black Stars wenye alama 19

Unaona Selemani Mwalimu na Fountain Gate wakienda na Namba hizi hadi mwisho wa Msimu au tuwaache kwanze tusiwaambie?_____😀

Let's Goo!!.
 
Pure Talent 🔥 Mechi Nane za Ligi Kuu kaweka magoli mengi kuliko mchezaji yeyote hadi sasa kwa Msimu huu 2024-25


Muendelezo wake mbele ni wa kiwango cha juu saana na ndiye anaongoza orodha ya Wafungaji Bora wa Ligi Kuu hadi sasa! Leo amekabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Tisa na amefunga goli moja wakati Fountain Gate ikishinda 3-1 mbele ya KMC

Mwalimu anaongeza kwa Magoli na Fountain Gate wapo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu wakiwa na alama zao 16 nyuma ya Singida Black Stars wenye alama 19

Unaona Selemani Mwalimu na Fountain Gate wakienda na Namba hizi hadi mwisho wa Msimu au tuwaache kwanze tusiwaambie?_____😀

Let's Goo!!.
Timu za kubetia magoli mengi nbc ni yanga,simba, azam,tabora, fountain gate,singida,kmc
 
Ajitahidi kukaza msuli. Ligi ya Bongo siyo mchezo mchezo. Na kama haamini, basi awaulize George Mpole, Ditram Nchimbi, Salim Aiyee, na wengineo wengi.
 
Pure Talent 🔥 Mechi Nane za Ligi Kuu kaweka magoli mengi kuliko mchezaji yeyote hadi sasa kwa Msimu huu 2024-25


Muendelezo wake mbele ni wa kiwango cha juu saana na ndiye anaongoza orodha ya Wafungaji Bora wa Ligi Kuu hadi sasa! Leo amekabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Tisa na amefunga goli moja wakati Fountain Gate ikishinda 3-1 mbele ya KMC

Mwalimu anaongeza kwa Magoli na Fountain Gate wapo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu wakiwa na alama zao 16 nyuma ya Singida Black Stars wenye alama 19

Unaona Selemani Mwalimu na Fountain Gate wakienda na Namba hizi hadi mwisho wa Msimu au tuwaache kwanze tusiwaambie?_____😀

Let's Goo!!.

Huwa nafurahi sana nnapoona mzawa anaongoza ktk mbio za ufungaji iwe ni NBCPL au Azam Federation

Safi sana Selemani Mwalimu
 
Akilewa sifa tu na kuanzia u celebrity kwisha mpira unaisha, juzi Azizi Ki kiuno hana kalegea sbb ya mambo ya kujiona kawa celebrity..!! Ukilewa ustaa mpira unakufa..!!
 
Msimamo huu unaonyesha kuwa timu za Singida zote mbili zinapasha moto viti wakati wenye viti wenyewe wakiwa wanashugulika na mambo makubwa. Yanga atarudi namba moja, Simba atapanda kuwa namba mbili ila Singida black stars ana kila dalili ya kuchukua namba tatu na kuacha nafasi ya nne igombewe kati ya Fountain gate na Azam

1729558642603.png
 
Msimamo huu unaonyesha kuwa timu za Singida zote mbili zinapasha moto viti wakati wenye viti wenyewe wakiwa wanashugulika na mambo makubwa. Yanga atarudi namba moja, Simba atapanda kuwa namba mbili ila Singida black stars ana kila dalili ya kuchukua namba tatu na kuacha nafasi ya nne igombewe kati ya Fountain gate na Azam

View attachment 3132163
Umetaja top four ya msimu huu ila binafsi naona Singida black atakuwa 2 Simba 3 na fountain 4
 
Back
Top Bottom