chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 865
ulioa ili iweje sasa,yaani mi najiuliza sana mtu umemuona ana faa kuwa mke why umdharau??tena unakuta ni hadharani bora iwe mafichoni. Unaenda mbali zaidi unamkalipia mkeo Kama mtoto mdogo aisee.
Uwa nawaona wengi tu hata wake zao wakiwapigia simu yaani jamaa anavyoongea na mke wake kwenye simu kwa kumfokea bila sababu unaweza jiuliza hivi hawa wanaugomvi ama nini hiki.
Basi tuseme uyo mkeo ni mbaya kimatendo siunamuacha uishi kwa uhuru tu. Niseme tu mwanaume anayemdharau au kutoa siri za ndan za mke wake hawezi kuwa rafiki yangu. Kuna jamaa alipoanza tu stori za udhaifu wa mke wake wakat tuko bar, nikajifanya naenda toilet, nikapitiliza mazima bila kumuaga.
Uwa nawaona wengi tu hata wake zao wakiwapigia simu yaani jamaa anavyoongea na mke wake kwenye simu kwa kumfokea bila sababu unaweza jiuliza hivi hawa wanaugomvi ama nini hiki.
Basi tuseme uyo mkeo ni mbaya kimatendo siunamuacha uishi kwa uhuru tu. Niseme tu mwanaume anayemdharau au kutoa siri za ndan za mke wake hawezi kuwa rafiki yangu. Kuna jamaa alipoanza tu stori za udhaifu wa mke wake wakat tuko bar, nikajifanya naenda toilet, nikapitiliza mazima bila kumuaga.