.....Eti wandugu,jana tulikua na ubishi sana na warafiki
wengine na nimeamua kuleta hapa debate hiyo...
Nataka kuwauuzia hii kesi...
Ukiingia baa au pub na ukamuona binti mreeembo sana
amekaa peke yake Kaunta anapata kinjwaji/kilevi.
Ni picha gani unayo ipata kwa haraka kwenye mind yako?
Duuuh, mbona mi ndio zangu......ila mi sinywi pombe. Nakaa mahali napata nyama choma.....nakula najiondokea zangu, sina story......wala hivyo ulivyoviweka hapo juu sina pia.