Sema neno please.

Speaker

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
6,324
Reaction score
2,240
.....Eti wandugu,jana tulikua na ubishi sana na warafiki
wengine na nimeamua kuleta hapa debate hiyo...

Nataka kuwauuzia hii kesi...
Ukiingia baa au pub na ukamuona binti mreeembo sana
amekaa peke yake Kaunta anapata kinjwaji/kilevi.
Ni picha gani unayo ipata kwa haraka kwenye mind yako?

1) Lonely
2) Stressed
3) Confident lady

Just curious.

 
Pigeonholing people is not cool so I usually don't care. I don't pay attention to anyone. I just mind my own business - as it should be.
 
acha nitegeshe masikio hapa maana huo ndo mchezo wangu........ Na nachukia nikiwa nimetulia nasikilizia kinywaji changu kinavyoteremka jitu lije kuniongelesha ongelesha............
 
Pigeonholing people is not cool so I usually don't care. I don't pay attention to anyone. I just mind my own business - as it should be.

Sikuelewi tena,jana nilikusikia bungeni ndo kabisaaa ulinichanganya.
 
acha nitegeshe masikio hapa maana huo ndo mchezo wangu........ Na nachukia nikiwa nimetulia nasikilizia kinywaji changu kinavyoteremka jitu lije kuniongelesha ongelesha............

Hahaha,.....okey.
 
None of the above.

Ni mteja wa kawaida tu.

Acheni unyanyapaa wa kijinsia.
tamko toka kwa raisi wa chama cha wabeba glass ya ndovu tanzania
thread imefungwa
 
Yupo mawindoni......, kumchomoa mtu au anatafuta mtu wakwenda kulindimisha poker vibrator in your fluid ()
 
Kama ni mahal pengne sawa,lakini kaunta wala sitajiuliza chochote coz najua hatakua peke yake coz kuna muuzaji pale.
 
Duuuh, mbona mi ndio zangu......ila mi sinywi pombe. Nakaa mahali napata nyama choma.....nakula najiondokea zangu, sina story......wala hivyo ulivyoviweka hapo juu sina pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…