Sema sepetu na calnhos nini kinaendelea?

Sema sepetu na calnhos nini kinaendelea?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Naona mitandaoni wana yanga wakitaka wema ampunguzie Dogo dozi.
Je nini kina endelea baina yao?
 
Walikuwa wanafanya Tangazo la maduka ya gsm..

Wa Tanzania tunavyopenda umbea...ndio maana wakamuita wema.. sababu alikuwa anahusishwa interest na Callinho kitambo
 
Back
Top Bottom