holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Humu jukwaani Kuna madaktari,manesi,wakunga, wataalamu wa tiba mbadala,na wabobezi wa masuala ya afya,hivyo
Uzi huu ni maalumu kwa wale wote wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali
Una ndugu yako ameugua kwa muda mrefu,huoni solution waambie wataalamu wa afya watakusaidia.
Kwa upande wangu Kuna ndugu yangu ameugua HIV and AIDS
Je dawa ya huu ugonjwa ipo?
Karibuni wataalamu wa afya
Uzi huu ni maalumu kwa wale wote wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali
Una ndugu yako ameugua kwa muda mrefu,huoni solution waambie wataalamu wa afya watakusaidia.
Kwa upande wangu Kuna ndugu yangu ameugua HIV and AIDS
Je dawa ya huu ugonjwa ipo?
Karibuni wataalamu wa afya