Sema ukweli, umewahi fanya mapenzi na wanaume au wanawake wangapi?

Kwanza namshukuru sana Mungu kwa kuniepusha na hayo mambo.

Nadhani mazingira yangu na tabia vimechangia pia.

Mimi sikuwa mtu wa kujichanganya sana ila umri wa baleghe niliteseka sana ila sikuwa na namna ya kupata huyo mwanamke.

Kwanza niliwaogopa na nilikuwa sijiamini mbele za watu. Haya yalichangia sana.

Japo sasa nipo poa naweza kujichanganya sana na watu ila kuwa na mwanamke ambaye si mke wangu hiyo kwangu nimeweka kiapo sitazini na namuomba Mungu kwa hilo anisaidie niweze mpaka mwisho wa maisha yangu hapa duniani.

Kuwa na msimamo mkuu utaacha.

Mkuu nipe uzoefu bwana sitaki kabisa kuongeza idadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umefanya mapenzi au NGONO........MAPENZI ni kitu adimu sana dogo......ila NGONO,...ziko mpaka zinauzwa barabarani.....
 
Dah mkuu ulichelewa sana hao mbona wachache umekula, me nakumbuka nilianza kula papuchi darasa la 4 ile nadhan enz izo michez ya baba na mama utoton tunakulana kwel kweli,yan adi saiv nimekula mademh karibia 200 ivi
 
49
 
Nitenganishe mademu wa kawaida na wake za watu au niwaunganishe wote kwa pamoja kupata idadi kamili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…