Semaji la Coastla Union laahidi Simba akichoma kesho ataenda Times FM kupiga deki

Semaji la Coastla Union laahidi Simba akichoma kesho ataenda Times FM kupiga deki

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Aisee huyu kijana sijajua kama anatafuta Kiki au Coastal Union imebadilika kiasi hiki, kwamba Mwinyi Zahera ameibadilisha Coastal au uwepo wachezaji wa kigeni umeibadilisha Coastal au uwepo wa Ajib.

Nini kimempa jeuri msemaji huyu mchanga kabisa katika medani ya soka hapa bongo, je anatafuta kutrend au anaichongea timu yake, je haijui Simba au anafanya makusudi.

Je wanajua mipango ya Simba nje ya uwanja au wanaona Simba mbovu sana kiasi kwamba haina uwezo.Hivi kweli kisemaji hiki hakiogopi uwezo wa wachezaji wa Simba au nn.

Tusubiri kesho kisemaji cha Coastal Union.
 
😃😅😄😀😄😁😅😅😅😁😁😀😀😀😁😁😅😅😅😅😅😄😄😁😁Bhalaa
 
Kakiishi kwenye ahadi yake ajue kabisa deki kesho linamuhusu😂😂
 
Sisi wana tanga au wana coastal union tuna uhakika kikubwa mganga wetu tegemezi katupa uhakika huo kwamba paka hatoki hiyo mechi.
Nb: waganga wa ndala fc na mkia wapo tanga😅
 
Back
Top Bottom