"Sembe and Dona over rated"

Jajojo

Senior Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
155
Reaction score
95
Salaam wakuu!

Jajajomills we want to make it simple and clear, sembe na dona safi, inatengenezwa na Jajojomills tu. Hizo zingine ni lazima uchekeche kabla ya kutumia, uchafu kibao!! yaani ni aibu!!!!!. Lakini Sembe na Dona chapa ya Jajojo, hauhitaji kuchekecha safiiiii!, ubora wa hali ya juu kabisa. Ukienda pale dukani tena kununua sembe! sema nataka sembe/dona chapa ya Jajojo.
Kwa wauzaji wa jumla na rejareja karibuni sana, 1kg - 50kg bei poa. Mteja kwetu ni Mheshimiwa.

Jajojo.

www.jajojo.com
jajojo@jajojo.com
 
Tangazo limeisha au utarudi kumalizia?
Nadhani utaleta namba za simu na location yako pamoja na bei.

sent from Sokoro nkorambokande
 

Badala ya kutangaza biashara unajitangaza wewe jojojo.jojojo ..au unamaanisha sembe gani mzee? Mbona bei ni siri na inapouzwa ni siri?
 
Sifanyi ujinga huo..nipo bize na mambo mengine..yaani unga tu wa ugali mpaka nifungue website??.. nonsense!!
kweli mjinga hataki kusoma! ondoa ujinga soma sites mbali mbali utajifunza vitu.
 
Huwezi kutangaza bidhaa yako bila kuponda bidhaa za watu wengine?
Kama bidhaa yako ina ubora ule unaotakwa pamoja na kukidhi viwango itanunulika tu, acha presha.
 
Yaani hata kama ni marketing haipo hivyo. Hapo ni umejipaka tope zaidi, na kama marketing yako ipo hivi tarajia kuua soko la bidhaa zako.

Yet unaulizwa bei, unawaambia watu waende wakasome ktk website.
 
Yaani hata kama ni marketing haipo hivyo. Hapo ni umejipaka tope zaidi, na kama marketing yako ipo hivi tarajia kuua soko la bidhaa zako.

Yet unaulizwa bei, unawaambia watu waende wakasome ktk website.
soko la sembe chapa ya Jajojo linakuwa kwa kasi kubwa, hilo halitusumbui. Bei ni makubaliano ya wahusika na eneo husika. bei ya Dar na mbeya hazifanani!
 
We ffala kweli.. ina maana hujui hili ni jukwaa la biashara au elimu!!
Mkuu umenifuraisha sana, ok hii ni jukwaa la biashara na elimu, Sasa ni kitu gani kinakuzuia usielimike juu ya unga chapa ya jajojo! Elimu ni kujifunza au mwenzetu umeshafika tayari hutaki kujifunza tena! Naamini ukipata nafasi ya kusoma tutaelewana vizuri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…