hii ndiyo CCM mpya mnalimia meno.Na huko katavi nimesikia gunia la mahindi ni 80000 kitu ambacho hata wakulima wa huko huko nao wanashangaa..
Narudia kusema tutashaa..
mbona hiyo bei ya mchele sasa .si bora kula waliNa huko katavi nimesikia gunia la mahindi ni 80000 kitu ambacho hata wakulima wa huko huko nao wanashangaa..
Narudia kusema tutashaa..
duuhNa njaa pia
mi sinunui kilo wala gunia wala debe
nusu tu inantosha mchana na usiku
900 yangu aaaaah sina shida
wao waktaka kilo ifike hata 5000
nusu mimi 2500 tu inantosha
Sawa, badala ya kulalamika hii iwe ni fursa ya kwenda kuyatafuta huko yanapopatikana kwa bei rahisi na kuja kuuza huko yanapouzwa kwa bei hiyo. Mpaka bei ije kukaa sawa tayari utakuwa na milioni zako kadhaa.Mimi sio mkulima tatizo ni bei elekezi
Ninao na hamna anaelalamika hata siku 1Wewe mvulana Huna wazazi au ndugu wengine??
Wap huko mkuu?Kwetu yanaenda kuuzwa nje