Sembe yapanda bei Zanzibar

srinavas

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
4,195
Reaction score
4,013
Habari za jioni ndugu

Katika gazeti la mwananchi wameripoti kuwa kumetokea kupanda kwa bei unga wa sembe kutoka 700 mpaka 2200 kwa kilo moja. Hali inayopelekea kutokea ugumu wa kula ugali na ugali kupanda bei.








Ama kweli hali kwa sasa inazidi kuwa mbaya. Sijui ni wapi tunaelekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…