Semina ya SOS Children’s Villages na REPSSI yawa kivutio kwa Polisi Dar

Semina ya SOS Children’s Villages na REPSSI yawa kivutio kwa Polisi Dar

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Semina ya kuwajengea uwezo wa Afya ya Akili kwa Askari Polisi inayoendelea Jijini Dar es Salaam iliyoandaliwa na Taasisi ya SOS Children’s Villages kwa kushirikiana na REPSSI imekuwa kivutio kwa Askari Polisi Washiriki kutokana na mada mbalimbali ikiwemo namna ya kumsikiliza mtoto mwenye msongo wa mawazo pamoja na njia bora ya kutatua changamoto zinazowakabili la tatizo la Afya ya akili na Kisaikolojia.

Katika video anayeonekana kwanza ni Mwakilishi wa Taasisi ya SOS Children’s Villages, Leah Mtalai akitoa mada namna ya kukabiliana na msongo wa mawazo katika mwendelezo wa semina ya siku saba ya kuwajengea uwezo wa Afya ya Akili kwa Askari wa Jeshi Polisi yaliyoandaliwa na Taasisi hiyo kwa kushirikiana na REPSSI.
 
Back
Top Bottom