RafikiElimu
Member
- Mar 1, 2013
- 11
- 7
NAFASI ZA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI JIJINI ARUSHA.
RAFIKIeLIMU FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya VISION FOR YOUTH ya Jijini Arusha, wanakuletea SEMINA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI . Mafunzo yatakayo fundishwa ni pamoja na Utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile ; Sabuni za aina mbalimbali, chaki, mishumaa, usindikaji, utengenezaji wa manukato ( perfumes ), lotion, mafuta ya kujipaka, kiwi, mango pickles, Chilly Sauce, Tomato Sauce nakadhalika.
WAPI : KWENYE UKUMBI WA MAKUMBUSHO ULIOPO KARIBU NA MNARA WA MWENGE.
LINI : Tarehe 20 hadi 21 Mwezi wa Tano ( MEI ) kuanzia saa tatu kamili asubuhi hadi saa tisa kamili alasiri.
ADA YA KUSHIRIKI : Shilingi Elfu Ishirini Na Tano Tu ( Tshs. 25,000/=)
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Uongozi wa Taasisi Ya VISION FOR YOUTH kwa Simu : 0762580504.
AU Fika katika ofisi zao zilizopo katika eneo la NAIROBI ROAD, LUSONA HOUSE, 3[SUP]rd[/SUP] FLOOR
RAFIKIeLIMU FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya VISION FOR YOUTH ya Jijini Arusha, wanakuletea SEMINA YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI . Mafunzo yatakayo fundishwa ni pamoja na Utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile ; Sabuni za aina mbalimbali, chaki, mishumaa, usindikaji, utengenezaji wa manukato ( perfumes ), lotion, mafuta ya kujipaka, kiwi, mango pickles, Chilly Sauce, Tomato Sauce nakadhalika.
WAPI : KWENYE UKUMBI WA MAKUMBUSHO ULIOPO KARIBU NA MNARA WA MWENGE.
LINI : Tarehe 20 hadi 21 Mwezi wa Tano ( MEI ) kuanzia saa tatu kamili asubuhi hadi saa tisa kamili alasiri.
ADA YA KUSHIRIKI : Shilingi Elfu Ishirini Na Tano Tu ( Tshs. 25,000/=)
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Uongozi wa Taasisi Ya VISION FOR YOUTH kwa Simu : 0762580504.
AU Fika katika ofisi zao zilizopo katika eneo la NAIROBI ROAD, LUSONA HOUSE, 3[SUP]rd[/SUP] FLOOR