wadau habari zenu,
Naomba kufahamu taasisi,jumuiya au wataalamu fulani wanaotoa semina ya Ujasiriamali. Nina Mwaka mmoja sasa tokea nianze biashara yangu ya duka la rejareja hapa morogoro mjini, nna shauku ya kupata msukumo wa fikra na mawazo mengine ili nifanye vizuri zaidi na niwekeze kwenye shughuli nyingine ikiwezekana ktk huu ujasiriamali,
tafadhali naomba kuwasilisha,
Naomba kufahamu taasisi,jumuiya au wataalamu fulani wanaotoa semina ya Ujasiriamali. Nina Mwaka mmoja sasa tokea nianze biashara yangu ya duka la rejareja hapa morogoro mjini, nna shauku ya kupata msukumo wa fikra na mawazo mengine ili nifanye vizuri zaidi na niwekeze kwenye shughuli nyingine ikiwezekana ktk huu ujasiriamali,
tafadhali naomba kuwasilisha,