Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Yawezekana ni mkatoliki jina tuu, ambaye hata mlango wa kanisa ajui, ambaye hata jumuia ndogondogo haudhurii anajifanya yupo bise.Week end yote anaimalizia bar akiwa na ipad ambayo ameiamini atapata taarifa zote humo ndio maana kaamua kuuliza hili. Angekuwa anaudhuria kanisani angemuuliza hata katekistaSeminari za Kikatoliki huwa hawaendi kwa mtindo huo. I gather from your bandiko kwamba wewe sio Mkatoliki, ladba nakosea lakini seminari ni kwa ajili ya kuaandaa vijana wanaotaka kuwa makasisi hapo baadae na sio kwa kila kijana aliyemaliza darasa la saba.
To cut the story short, kijana anapaswa kupitia parokiani kwake ili kuweza kupata nafasi.
wakubwa msaada, kijana wangu mtoto wa kaka yangu kang'ang'ania kwenda kusoma seminari,nimeamua kutii maamuzi yake, je ada ya seminari ya visiga na ya maua ni sh. ngapi?au kama kuna mtu anajua seminari ya kikatoriki na gharama zake anijulishe ili huyu mwanangu nimpeleke huko maana amelilia sana kusomea huko.
Inavyooneka wewe si Mkatoliki na maana ya Seminari hujui.....Anyway mpeleke kwenye shule za Kanisa za Katoliki..(Catholic managed schools)
Hata hizo Catholic schools zipo very selective 70% must a Catholic Student....
Kwa hiyo kama wewe si Mkatoliki una chance ya 30% kupata....
Shule hizo ni (Best Catholic Schools)
1. Marian(Boys/Girls)
2. St. Francis Girls Mbeya
3. St Mary Gorett Kilimanjaro
4. St. Joseph Millenium
5. St Marys Mazinde Juu
6. Kifungilo Girls Tanga
7. Rosmin Tanga
8. Abbey Mtwara
9. Bethel Sabs Iringa
10. Precious Blood Girls Arusha
11. Tengeru Boys Arusha
12. St Amedeus biys Kilimanjaro
13. Bendel Kilimanjaro
14. Anwarite Girls Kilimanjaro
15. Kandoto science Girls Kilimanjaro
Na nyingine nyingii ......Zote hizo ukifungua matokea ya Necta ni.Div 1 na 2...bhasssd
Inavyooneka wewe si Mkatoliki na maana ya Seminari hujui.....Anyway mpeleke kwenye shule za Kanisa za Katoliki..(Catholic managed schools)
Hata hizo Catholic schools zipo very selective 70% must a Catholic Student....
Kwa hiyo kama wewe si Mkatoliki una chance ya 30% kupata....
Shule hizo ni (Best Catholic Schools)
1. Marian(Boys/Girls)
2. St. Francis Girls Mbeya
3. St Mary Gorett Kilimanjaro
4. St. Joseph Millenium
5. St Marys Mazinde Juu
6. Kifungilo Girls Tanga
7. Rosmin Tanga
8. Abbey Mtwara
9. Bethel Sabs Iringa
10. Precious Blood Girls Arusha
11. Tengeru Boys Arusha
12. St Amedeus biys Kilimanjaro
13. Bendel Kilimanjaro
14. Anwarite Girls Kilimanjaro
15. Kandoto science Girls Kilimanjaro
Na nyingine nyingii ......Zote hizo ukifungua matokea ya Necta ni.Div 1 na 2...bhasssd
Aliyekwambia rosmin ni shule ya catholic ni nani???
Rosmin haina uhusiano na catholic kabisa ni mtu binafsi tu
Kwa seminary
Uru seminary ipo uru
Maua seminary ipo marangu
St james ipo kilema
St amedeus ipo kilema form zake nenda office za marian pale msimbazi center
Visiga seminary
St mary's seminary nyegezi mwanza
Ndanda abbey
Uwahi mapema kuchukua form pia seminary anatakiwa apate barua ya paroko wa kanisani kwake
Aliyekwambia rosmin ni shule ya catholic ni nani???
Rosmin haina uhusiano na catholic kabisa ni mtu binafsi tu
Kwa seminary
Uru seminary ipo uru
Maua seminary ipo marangu
St james ipo kilema
St amedeus ipo kilema form zake nenda office za marian pale msimbazi center
Visiga seminary
St mary's seminary nyegezi mwanza
Ndanda abbey
Uwahi mapema kuchukua form pia seminary anatakiwa apate barua ya paroko wa kanisani kwake
kama wewe ni mkatoliki, nenda kwa paroko wa parokia yako na umweleze nia ya kijana wako (nia ya kwenda Seminari), utapata maelezo zaidi. Paroko anaweza kukuidhinishia barua ambayo itakusaidia kupata nafasi (kama zipo) ktk Seminary unayotaka.
Priority kubwa ni kwa Alter Boys....
Halafu St. Amedeus sio Seminary....
Hasa kwa wale wanaokwenda Diocesan seminaries
wakubwa msaada, kijana wangu mtoto wa kaka yangu kang'ang'ania kwenda kusoma seminari,nimeamua kutii maamuzi yake, je ada ya seminari ya visiga na ya maua ni sh. ngapi?au kama kuna mtu anajua seminari ya kikatoriki na gharama zake anijulishe ili huyu mwanangu nimpeleke huko maana amelilia sana kusomea huko.
Seminari ni nini? Mseminari ni nani? Hayo ni baadhi ya maswali niliyoulizwa katika mtihani wa Dini wakati nilipofanya mtihani wa kujiunga na Seminari mwaka 1997 katika Ukumbi wa Msimbazi Centre.Kimsingi,Seminari ni shule maalum za kikatoliki ambazo huandaa vijana kuwa Mapadre. Ni wavulana tu.
Kujiunga na Seminari kuna taratibu zake. Kwahiyo,usianze kuuliza ada wakati hujui taratibu za kujiunga na Seminari. Labda umpeleke kwenye shule alizoorodhesha mkuu tedo. St.Mary's Junior Seminary Visiga ni kati ya Seminari ninazoziongelea.
Aliyekwambia rosmin ni shule ya catholic ni nani???
Rosmin haina uhusiano na catholic kabisa ni mtu binafsi tu
Kwa seminary
Uru seminary ipo uru
Maua seminary ipo marangu
St james ipo kilema
St amedeus ipo kilema form zake nenda office za marian pale msimbazi center
Visiga seminary
St mary's seminary nyegezi mwanza
Ndanda abbey
Uwahi mapema kuchukua form pia seminary anatakiwa apate barua ya paroko wa kanisani kwake
Ni sawa lakini hata wakatoliki wengine wananafasi ya kusoma Seminary, cha msingi wanaangalia kama kuna chembechembe za wito wa upadre.Priority kubwa ni kwa Alter Boys....