Send off nzuri sana imefanyika ya binti anayejielewa kutoka familia inayojitambua. Hakuna kusumbua watu Michango

Send off nzuri sana imefanyika ya binti anayejielewa kutoka familia inayojitambua. Hakuna kusumbua watu Michango

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
send off kali sana.

33 People Invited Only na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii maana hakuna siti ya ziada.

1 - Hakuna kusumbua watu michango

2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati

3 - Hakuna madeni.

this show her mental health stability ipo juu sana.

Snapinsta.app_482398357_18451172098073846_5349517823145229175_n_1080.jpg
 
send off kali sana.

33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.

1 - Hakuna kusumbua watu michango

2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati

3 - Hakuna madeni.

this show her mental health stability ipo juu sana.

View attachment 3255993
Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.
 
send off kali sana.

33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.

1 - Hakuna kusumbua watu michango

2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati

3 - Hakuna madeni.

his show her mental health stability ipo juu sana.

View attachment 3255993
Hapo Mama SUMA hajaalikwa lazima akusimange

Muda mwingne lazima tukubali lawama ili tusevu kibunda😁
 
send off kali sana.

33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.

1 - Hakuna kusumbua watu michango

2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati

3 - Hakuna madeni.

this show her mental health stability ipo juu sana.

View attachment 3255993
Safi kabisa angalau naanza kuona mambo ninayoyapenda na mimi nitafunga ndoa na watu 20 tu nitaalika .
 
Tusiige mambo ya Wazungu, wao hufanya hivyo kwani kule watu hawana time na pia hakuna cha mambo ya shangazi, mjomba, jirani, nk, huku kwetu extended familu ipo na kuna watu wengi tu watakuwa wanajiona wametengwa.
Siku wakati namaliza degree ya kwanza mwaka x hakuna Ata ndugu moja aliyechangia anything kwenye graduation yangu why me? Nihangaike na zao?
 
Back
Top Bottom