Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.send off kali sana.
33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.
1 - Hakuna kusumbua watu michango
2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati
3 - Hakuna madeni.
this show her mental health stability ipo juu sana.
View attachment 3255993
Hapo Mama SUMA hajaalikwa lazima akusimangesend off kali sana.
33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.
1 - Hakuna kusumbua watu michango
2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati
3 - Hakuna madeni.
his show her mental health stability ipo juu sana.
View attachment 3255993
Yeah tena huo msiba utakuwa fresh sana budget itakuwa nzuri sana yani jeneza, usafiri,chakula cha watu 33 + vinywaji kadhaa...msiba umeisha hivyo.Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.
Shida iko wapi hapo?Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.
Tusiige mambo ya Wazungu, wao hufanya hivyo kwani kule watu hawana time na pia hakuna cha mambo ya shangazi, mjomba, jirani, nk, huku kwetu extended familu ipo na kuna watu wengi tu watakuwa wanajiona wametengwa.Shida iko wapi hapo?
Safi kabisa angalau naanza kuona mambo ninayoyapenda na mimi nitafunga ndoa na watu 20 tu nitaalika .send off kali sana.
33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.
1 - Hakuna kusumbua watu michango
2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati
3 - Hakuna madeni.
this show her mental health stability ipo juu sana.
View attachment 3255993
Siku wakati namaliza degree ya kwanza mwaka x hakuna Ata ndugu moja aliyechangia anything kwenye graduation yangu why me? Nihangaike na zao?Tusiige mambo ya Wazungu, wao hufanya hivyo kwani kule watu hawana time na pia hakuna cha mambo ya shangazi, mjomba, jirani, nk, huku kwetu extended familu ipo na kuna watu wengi tu watakuwa wanajiona wametengwa.
Usiponialika kwenye harusi yako siji kwenye msiba wa baba ako bongo nyoso 🐒Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.
Ukifa hata hujui atakayekuzika...huenda ukazikwa na wapita njia wenye njaa kaliAkifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.