Send off ya mtoto wa kigogo Mlimani City imenifurahisha sana, muwe na adabu na sherehe za watu

Send off ya mtoto wa kigogo Mlimani City imenifurahisha sana, muwe na adabu na sherehe za watu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Habari za asubuhi wapendwa

Leo ni siku ya Jumamosi ingawa sijachelewa na pengine una kadi za harusi kadhaa zingatia haya

Ukumbuke kadi za harusi kwenda harusini

Ukienda harusini hakikisha umekula ila usishibe

Hakikisha umekunywa ila usivimbiwe ukavimbiwe harusini

Mkiona vinywaji vingi kila aina hakikisha unakunywa unachostahili usiaibike

Ukiona chakula kila aina na mnaulizwa mwende mkarudie, Kula kinachostahili

Shetani asikuingie ukaenda nje kutafuta mfuko utaaibika.

Majuzi nilihudhuria sherehe ya sendoff ya mtoto wa kigogo mmoja. Alinifurahisha sana aliwaonyesha jamaa na marafiki kizuri gharama

Wapo waliochanga mamilioni wakapewa mpaka na ndafu kadhaa kama 30

Sasa kuna group hili ndilo lilonichekesha. Wakati natoka nikashangaa mbona tuko kwenye foleni, kuangalia kwa mbele naona jamaa wana mashine za kusachi kama tuko JNIA. Hapo ni saa nane usiku.

Ghafla naona wamama, wadada kwa wababa wanarudi kwenye meza ghafla nikasema kuna nini.

Kuangalia naona watu wanambiwa kama una kinywaji mfukoni kwenye mfuko, Koti tafadhali rudi kwenye siti yako hakikisha umemaliza vyote.

Hakuna atakayeruhusiwa kuondoka na kinywaji chochote hapa getini, mimi nikapita getini nasubiri niliowaleta

Ghafla napigiwa na jamaa niliowaleta, kaka hawa washenzi wametuzuia huku kutoka na vinywaji na tumetoa laki 3 kila mtu

Hahaha nikawambia mimi sijawahi zoea sherehe za vinywaji na ma vyakula ovyo lazima mngejiongeza.

Hahaa mmoja akasema tumeweka kwenye chupa za maji wine zote tunaelekea chooni kuvimwaga

Loh mwingine akapiga kaka nimejaza Hennesy kwa chupa naelekea chooni kumwaga zote.

Kifupi, Sio tu Mlimani city halls popote pale ukienda harusini hakikisha umekula ndugu umekula kama una kinywaji kunywa

Usizoee sana misosi na vinywaji vya harusini utaaibika.
 
Ungewakumbusha tumbo hali ridhiki hata wangebeba vyote kungekucha wakatafuta tena chakula
Kama unaweza kuchanga laki mbili basi unaweza kula chochote unachotaka nje ya ukumbi kwa kununua hakuna haja ya kuiba chakula uondoke nacho
 
Mimi mama angu alikua hawezi toka harusini aja niletea ata paja la kuku au soda.💥Best feeling ever sio kwamba hawezi nunua ila ni basi na sisi tuwe tume onja vya harusini
Yah hioo zaman mkuusikuhizii zile kamati za sherehee zimekuwa na pepo yaana zinakomaa hata na vinywaji vinavyobakia

Kwangu mm haikuwa hivyo yaan kwenye harusiya kakanguu tulitqngaza watu kama wanahitaji kuondoka na vinywaji warudi kwa meza n alitokea mmbwa mmoja akasema tunatakiwa kurudisha nkamwambia kaka anajua hizi nkachqt nae akasema bia za home na wine na savanna za shemejoo si zipo nkajibu ziko kwa gari mapema

Akasema zilizobakii hakikisha wanapewa kila mtu viishe..punda mmoja anasema ameongea na waliponunua vikibaki turudishe anatupatia hela

Nkahoji mlipoagiza hamkujua vinazidi wacha watu wabebe vyakula na vinywaji waende

Ikaisha
 
Habarrini za asbh wapendwa

Leo n siku ya jumamosi ingawa sijachelewa na pengine una kadi za harusi kadhaa zingatia haya



Ukumbuke kadi za harusi kwenda harusin



Ukienda harusin hakikisha umekula ila usishibe



Hakikisha umekunywa ila usivimbiwe ukavimbiwe harusin



Mkiona vinywaji vingi kila aina hakikisha unakunywa unachostahili usiaibike



Ukiona chakula kila aina na mnaulizwa mwende mkarudie

Kula kinachostahili



Shetan asikuingie ukaenda nje kutafuta mfuko utaaibikaa



Majuzi nilihudhuria sherehe ya sendoff ya mtoto wa akigogo mmoja



Alinifurahisha sana aliwaonyesha jamaa na marafiki kizuri gharama



Wapo waliochanga mamilion wakapewa mpaka na ndafuu kadhaa kama 30



Sasa kuna grp hili ndilo lilonichekesha



Wakati natoka nkashangaa mbona tuko kwenye folen kuangalia kwa mbele naona jamaa wana mashine za kusachi kama tuko jnia

Hapo n saa nane usiku



Gafla naona wamamma wadada kwa wababa wanarudi kwenye meza gafla nkasema kunana nn..



Kuangalia naona watu wanambiwa kama una kinywaji mfukon kwenye mfuko.. Koti tafadhali rudi kwenye siti yako akikisha umemaliza vyote



Hakuna atakaeruhusiwa kuondoka na kinywaji chochote hapa getini m nkapita getini nasubiri nikiowaleta



Gafla napigiwa na jamaa niliowaleta kaka hawa washenzi wametuzuia huku kutoka na vinywaji na tumetoa laki 3 kila mtu



Hahaha nkawambia m sijawahi zoea sherehe za vinywaji na ma vyakula ovyo lazima mngejiongeza



Hahaa mmoja akasema tumeweka kwenye chupa za maji wine zote tunaelekea chooni kuvimwaga



Loh mwingine akapiga kaka nimejaza hennesy kwa chupa naelekea choon kumwaga zote



Kifupi



Sio tu mlimani city halls popote pale ukienda harusin

Hakikisha umekula ndugu umekula kama una kinywaji kunywa



Usizoee sana misosi na vinywaji vya harusini utaaibika
Kaka weekend leo tudondoshee code za SPORTYBET mkuu
 
Gafla napigiwa na jamaa niliowaleta kaka hawa washenzi wametuzuia huku kutoka na vinywaji na tumetoa laki 3 kila mtu
Kwamba hawana buku mbili mbili za kwenda kununua bia ila wana laki tatu kila mmoja ili wahonge ili waachiwe wapite na bia za buku mbili mbili?

Anyway
images.jpeg
 
Mkuuu mlimanicity
Sio pa kuchezea sherehe nyingi unakuta kuna kampuni imepewa kusimamia watu wanywe wale walewe washibe kuondoka na vinywaji nyooooo

Hii n sherehe ya 4 nahisi wengi hawakuwa na exp na wamevaa sare za kampuni za ulinzi weweeeeeeeeeeee....

Mwakajana jamaa yangu mmoja alitokaa na hennesy 4 mdada akamzuia nkawa nina exp nkamshikisha 10 zikapita......

Ukijipanga kupita na mzigo weka kumi.moononi alafu uwe na mifuko miwili
Mmoja weka maji na alfu 10 mwingine vinhwaji vya ukweli

Ukifika mpe mfuko wa maji wenye buku.kumi anakwambia nenda anabaki naoo

Hakikisha una pombe za gharama sio upuuzi wa savannahs flying meet sijui fish woi

.....hakikisha umeoga na majiya chumvimawe sikuhioo
unaweza kutana na kiwavimtu hata hio kumi apokei akapita na mfuko wa hela na vyupa vyakooo
 
Habari za asubuhi wapendwa

Leo ni siku ya Jumamosi ingawa sijachelewa na pengine una kadi za harusi kadhaa zingatia haya

Ukumbuke kadi za harusi kwenda harusini

Ukienda harusini hakikisha umekula ila usishibe

Hakikisha umekunywa ila usivimbiwe ukavimbiwe harusini

Mkiona vinywaji vingi kila aina hakikisha unakunywa unachostahili usiaibike

Ukiona chakula kila aina na mnaulizwa mwende mkarudie, Kula kinachostahili

Shetani asikuingie ukaenda nje kutafuta mfuko utaaibika.

Majuzi nilihudhuria sherehe ya sendoff ya mtoto wa kigogo mmoja. Alinifurahisha sana aliwaonyesha jamaa na marafiki kizuri gharama

Wapo waliochanga mamilioni wakapewa mpaka na ndafu kadhaa kama 30

Sasa kuna group hili ndilo lilonichekesha. Wakati natoka nikashangaa mbona tuko kwenye foleni, kuangalia kwa mbele naona jamaa wana mashine za kusachi kama tuko JNIA. Hapo ni saa nane usiku.

Ghafla naona wamama, wadada kwa wababa wanarudi kwenye meza ghafla nikasema kuna nini.

Kuangalia naona watu wanambiwa kama una kinywaji mfukoni kwenye mfuko, Koti tafadhali rudi kwenye siti yako hakikisha umemaliza vyote.

Hakuna atakayeruhusiwa kuondoka na kinywaji chochote hapa getini, mimi nikapita getini nasubiri niliowaleta

Ghafla napigiwa na jamaa niliowaleta, kaka hawa washenzi wametuzuia huku kutoka na vinywaji na tumetoa laki 3 kila mtu

Hahaha nikawambia mimi sijawahi zoea sherehe za vinywaji na ma vyakula ovyo lazima mngejiongeza.

Hahaa mmoja akasema tumeweka kwenye chupa za maji wine zote tunaelekea chooni kuvimwaga

Loh mwingine akapiga kaka nimejaza Hennesy kwa chupa naelekea chooni kumwaga zote.

Kifupi, Sio tu Mlimani city halls popote pale ukienda harusini hakikisha umekula ndugu umekula kama una kinywaji kunywa

Usizoee sana misosi na vinywaji vya harusini utaaibika.
Kuna kabilaaaaaa yaan hizii ndioo issue zaoo ntasema baadae yaan wakishtuka mnasachi wanaenda chooni kuweka hata sehemu za siri acha kabisaa
 
Back
Top Bottom