Sending multiple application

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,296
Reaction score
12,972
hali zenu wadau, hivi ni makosa kutuma multiple application mf. zimetangazwa nafasi za kazi zaidi ya moja afu nikatuma application katika nafasi 3 tofauti. je ni makosa???? msaada wenu tafadhali
 
ondoa shaka hata zote kama una vigezo we apply to mamushkaa!
 
Nime2ma aplicatoin 48 kazzi za tar 25 sasa ww 2 tu unaogopa. Kama ipo ipo 2.
 
Sa ikitokea wote mlia-apply mtaitwa kwa ajili ya written interview afu ndo muwe shortilisted kama ile ya UDOM, si utapasuka msamba?

kupasuka msaMBA NI lazima hasa ktk maisha ya sasa otherwize hutoweza kujamb.......... na kuhudhuria long kol kama ukiuogopa huo msamba kuchanika. pia fahamu kuwa kabla ya msamba(mwili) inaanza suruali, bukta, boxer and then....................malizia.
 
Total disqualification hupati hata moja.
 
Tuma tu zote, hata zile ambazo hazijatangazwa wewe nazo tuma tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…