CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Nime2ma aplicatoin 48 kazzi za tar 25 sasa ww 2 tu unaogopa. Kama ipo ipo 2.
mkuu umecheka bila koment. vip nimechemka? but always najiamini my self. zikitik zote naenda kugonga mzigo.aaah aaaah aaaah
Sa ikitokea wote mlia-apply mtaitwa kwa ajili ya written interview afu ndo muwe shortilisted kama ile ya UDOM, si utapasuka msamba?
Total disqualification hupati hata moja.
Total disqualification hupati hata moja.
Nime2ma aplicatoin 48 kazzi za tar 25 sasa ww 2 tu unaogopa. Kama ipo ipo 2.
Tuma tu zote, hata zile ambazo hazijatangazwa wewe nazo tuma tu.
Jina tamu ehh??haha..nimependa jina lako.
Jina tamu ehh??