Senetor Tom Cotton

Senetor Tom Cotton

son of a teacher

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
541
Reaction score
1,449
Senetor wa jimbo la Arkansas Tom cotton ameipiga mkwara mahakama ya ICC kupitia mtandao wake wa X

ICC ni mahakama isiyotambulika na Karim khan ni siasa kali.Na yeyote atakayejaribu kutoa hati ya ukamataji subiri niwakumbushe sheria ya America kuhusiana na ICC inajulikana kama "The Hague invasion Act for a reason"

The Hague invasion act ilipitishwa mwaka 2002 kulinda maslahi ya marekani na washirika wake dhidi ya Icc.Sheria inampa nguvu rais wa marekani kwa namna yeyote ile hata kuhusisha nguvu ya kijeshi kuwatoa raia wake na wa washirika wake kutoka the Hague.
 
Senetor wa jimbo la Arkansas Tom cotton ameipiga mkwara mahakama ya ICC kupitia mtandao wake wa X...
Hii ndo kusema, ICC inaweza kukamata kila kiongozi isipokuwa wale walio kwenye mhimili uliojichimbia, itaimba ngojera nyingi na hakuna kitakachotokea

ICC na USA, Israel, Russia, Ulaya n.k wapi na wapi!

ICC imezilenga nchi za makapuku
 
20241123_182856.jpg



Ndio maana anabweka sana
 
Kumkamata Netanyahu ni sawa na Kumkamata mtoto wa Marekan

ICC haina nguvu mbele ya Marekani

2020 Mwendesha mashitaka wa ICC Fatou Besouda na wakuu wengine walianza kuigusa gusa Marekani, Kilichotokea waling'olewa

Hii kesi ya Netanyahu inafutwa sio muda mrefu baada ya Trump kuapishwa, huyo kiongozi wa ICC kibao kinaenda kumgeukia, ana kesi ya unyanyasaji wa ngono, wataikuza iwe trending.
 
Raia wa Marekani wenyewe wamemkataa kwenye mtandao X alipotoa hayo mawazo!

Wanamuita ni chawa wa AIPAC.
Mteke raia wa Israel muombwe mdai Mnataka vita , mmeletewa vita mnakimbiliw ICC , nyiny wanges mnazingua sn , KIUFUPI hamjui Mnataka nn
 
Senetor wa jimbo la Arkansas Tom cotton ameipiga mkwara mahakama ya ICC kupitia mtandao wake wa X

ICC ni mahakama isiyotambulika na Karim khan ni siasa kali.Na yeyote atakayejaribu kutoa hati ya ukamataji subiri niwakumbushe sheria ya America kuhusiana na ICC inajulikana kama "The Hague invasion Act for a reason"

The Hague invasion act ilipitishwa mwaka 2002 kulinda maslahi ya marekani na washirika wake dhidi ya Icc.Sheria inampa nguvu rais wa marekani kwa namna yeyote ile hata kuhusisha nguvu ya kijeshi kuwatoa raia wake na wa washirika wake kutoka the Hague.

Ni kwasababu marekan aligoma kujiunga na ICC toka kuanzishwa kwake.. hata Urusi na Israel sio wanachama wa ICC ndio maana putin naye ana warrant ya ICC ya mwaka 2023 na huoni akikamatwa
 
Back
Top Bottom