Bundasliga,! Moesi,!Bangladesh! Bible study!
Nilikutana naye uwanja wa taifa yaani hata kuangaliana tu ni comedyMwenye video ya senga nje ya sanaa naomba aniwekee
Baada ya kupata stress za jukwaa la siasa hapa nimevunja mbavu. JF utacheka tu.
Nilikutana naye uwanja wa taifa yaani hata kuangaliana tu ni comedy
Max Mungu amlinde! Amewakutanisha watanzania wangapi? Bonge la pongezi kwake na timu yake! Haya ndiyo maendeleo, ubunifu muhimu sana. Vijana tubadirike, kuwepo kwetu leo kuwe kumbukumbu ya vizazi vijavyo.... siyo kupiga selfie...Max alishalipa na anaendelea kulipia mahakamani ili tujiachie tu humu ..[emoji41][emoji41]