lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
Asilimia 82.5 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi wanamiliki simu ya mkononi. Tanzania Zanzibar ina wamiliki wengi zaidi (asilimia 88.8) kuliko Tanzania Bara (asilimia 82.3). Sensa2022.
PIA SOMA
- Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120
PIA SOMA
- Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120