Sensa 2022: Asilimia 82.5 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi wanamiliki simu ya mkononi

Sensa 2022: Asilimia 82.5 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi wanamiliki simu ya mkononi

lugoda12

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
276
Reaction score
574
Asilimia 82.5 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi wanamiliki simu ya mkononi. Tanzania Zanzibar ina wamiliki wengi zaidi (asilimia 88.8) kuliko Tanzania Bara (asilimia 82.3). Sensa2022.

PIA SOMA
- Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

993BD0B9-AF98-4571-AD51-B842CCCF990B.jpeg
 
Back
Top Bottom