Sensa 2022, ina maana gani kutuma meseji kila siku

Sensa 2022, ina maana gani kutuma meseji kila siku

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,296
Reaction score
6,492
Hivi hii ina maana gani kutuma meseji kila siku ili mimi zinisaidie nini? Yaani ndio mpanga maendeleo ya nchi ama ni nini eti wanajukwaa?

Screenshot_20221204-122830_Messages.jpg
 
Mbona mimi situmiwi? Itakuwa huyo Sensa anakupenda
 
Vipaumbele vya hii nchi ni shida sana. Hapo watu wamelipa mamilioni kwemye mitandao ya simu ili tupewe data za sensa
 
Mbona mimi situmiwi? Itakuwa huyo Sensa anakupenda
Tangu matokeo ya sensa yatangazwe haipiti siku 3 natumiwa meseji laini zote 2
 

Attachments

  • Screenshot_20221204-123621_Messages.jpg
    Screenshot_20221204-123621_Messages.jpg
    159.8 KB · Views: 4
Watoa na idadi kiwilaya, tarafa, kata, vijiji hadi vitongoji
 
Hivi hii ina maana gani kutuma meseji kila siku ili mimi zinisaidie nini? Yaani ndio mpanga maendeleo ya nchi ama ni nini eti wanajukwaa?
Kibaya zaidi huenda sisi ndo tunalipia hiyo bill,every now and then wanatuma tuu
 
Watoa na idadi kiwilaya, tarafa, kata, vijiji hadi vitongoji
Ingekua wanatoa hiyo ingekua na manufaa kuliko hiyo ambayo vyombo vya habari vimeshaitangaza sana.

Wangeseti mfumo utume sms kwa mtu kulingana na eneo alipo. Idadi ya watu kwa mkoa, wilaya, kata au hata kijiji/mtaa.
 
Back
Top Bottom