Matumizi ya teknolojia kwenye sensa hii yameanza kuonekana. Yapo baadhi ya mambo tukiboresha itasaidia zaidi.
Mfano. Kuwe na online forms ambazo wananchi wata download na kujaza taarifa zao kisha kuziwasilisha huko ofisi ya Takwimu.
Baada ya hapo, wanapata ID ambapo watu wa sensa wakipita wanaweza ku verify tu.
Hii ingepunguza muda majumbani, hotelini, hospitals na sehem nyingine. Au ni sensa app tunajaza wananchi wenyewe.
Lakini pia, kungekuwa na mapping ya mapema ambayo itaonesha maafisa sensa wanapita eneo fulani saa ngapi au siku gani. Ikibidi watu wabuku muda wao wa kuhesabiwa au kuwa verified.
Mfano. Kuwe na online forms ambazo wananchi wata download na kujaza taarifa zao kisha kuziwasilisha huko ofisi ya Takwimu.
Baada ya hapo, wanapata ID ambapo watu wa sensa wakipita wanaweza ku verify tu.
Hii ingepunguza muda majumbani, hotelini, hospitals na sehem nyingine. Au ni sensa app tunajaza wananchi wenyewe.
Lakini pia, kungekuwa na mapping ya mapema ambayo itaonesha maafisa sensa wanapita eneo fulani saa ngapi au siku gani. Ikibidi watu wabuku muda wao wa kuhesabiwa au kuwa verified.