Tumesema afisa sensa ata verify. Pamoja na hivyo, kumtuma afisa sensa hakuzuii uongo. We should embrace technologyKuna aina nyingi za kuchukua taarifa. Hiyo unayoisema inaitwa self enumeration. Hii kwa watu kama nyie si sahihi maana mauongo ndiyo kwao.
Hakuna kitu kama hicho my friend katika utafiti. Kunakuwa na misleading answers. Sasa hata akiverify si kazi nyingine errors zitakuwa nyingi. Mfano neno kaya kwa kila utafiti lina defenition yake na ndo maana kila utafiti kabla ya kuanza huwa kuna mafunzoTumesema afisa sensa ata verify. Pamoja na hivyo, kumtuma afisa sensa hakuzuii uongo. We should embrace technology
Mawazo mazuri ila mimi nawaza tofauti,kila mtu awe na namba ya Nida na record zake ziwe kwenye systemTumesema afisa sensa ata verify. Pamoja na hivyo, kumtuma afisa sensa hakuzuii uongo. We should embrace technology
Watanzania wengi tu wanaweza kujaza hizi forms. Mie nilikuwa nchi X wakati fulani, tulikuwa tukiletewa form tujaze, na zoezi lilifanikiwa. Tatizo ni Tanzania tu?Hakuna kitu kama hicho my friend katika utafiti. Kunakuwa na misleading answers. Sasa hata akiverify si kazi nyingine errors zitakuwa nyingi. Mfano neno kaya kwa kila utafiti lina defenition yake na ndo maana kila utafiti kabla ya kuanza huwa kuna mafunzo
Ngoja nikuache, kwaheriWatanzania wengi tu wanaweza kujaza hizi forms. Mie nilikuwa nchi X wakati fulani, tulikuwa tukiletewa form tujaze, na zoezi lilifanikiwa. Tatizo ni Tanzania tu?
Sio kwa Nchi hii muktadha wa Sensa ni jambo jema na la haki kabisa kama inavyojipambanua kwa malengo yake,Shida ni pale inapogeuka fursa kipesa ukiwahoji makarani wengi wanafikiria pesa tu huko ngazi za juu ndio usiseme watu wanafikiria asali tu kwa hivyo nihitimishe kwa kusema kama serikali ipo serious iandae hyo app Raia wajisensabishe wenyeweMatumizi ya teknolojia kwenye sensa hii yameanza kuonekana. Yapo baadhi ya mambo tukiboresha itasaidia zaidi.
Mfano. Kuwe na online forms ambazo wananchi wata download na kujaza taarifa zao kisha kuziwasilisha huko ofisi ya Takwimu.
Baada ya hapo, wanapata ID ambapo watu wa sensa wakipita wanaweza ku verify tu.
Hii ingepunguza muda majumbani, hotelini, hospitals na sehem nyingine. Au ni sensa app tunajaza wananchi wenyewe.
Lakini pia, kungekuwa na mapping ya mapema ambayo itaonesha maafisa sensa wanapita eneo fulani saa ngapi au siku gani. Ikibidi watu wabuku muda wao wa kuhesabiwa au kuwa verified.
Ni uelewa wa watu na utayari tu ndio unaohitajikaSio kwa Nchi hii muktadha wa Sensa ni jambo jema na la haki kabisa kama inavyojipambanua kwa malengo yake,Shida ni pale inapogeuka fursa kipesa ukiwahoji makarani wengi wanafikiria pesa tu huko ngazi za juu ndio usiseme watu wanafikiria asali tu kwa hivyo nihitimishe kwa kusema kama serikali ipo serious iandae hyo app Raia wajisensabishe wenyewe
Mawazo mazuri ila mimi nawaza tofauti,kila mtu awe na namba ya Nida na record zake ziwe kwenye system
Ukioa system ijue
Ukifa system ijue
Ukitoa talaka mahakamani system ijue
Ukipata kazi ijue
Ukifukuzwa kazi system ijue
Ukichukuacmkopo pia ijue
Mwisho wa mwaka you run the report na kujua nani kafa nani kazaliwa,nani kaoa nani kaacha.
inawezekana tu kuwekeza kwenye ITSio rahisi kihivyo
Umeona hii Manispaa ya Mwanza kuna watu hawajui kiswahili washindwa kuelewana na makarani wa sensaWatanzania wengi tu wanaweza kujaza hizi forms. Mie nilikuwa nchi X wakati fulani, tulikuwa tukiletewa form tujaze, na zoezi lilifanikiwa. Tatizo ni Tanzania tu?
Wengine hawaelewiSawa