sensa na makazi

nolakinabo

Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
24
Reaction score
0
Leo katika pita yangu mtaani nakutana na walimu wanalalamikate eti wamefunga shule ili washiriki zoez la sensa lakin badala yake wamechukuliwa watu wa mtaani na maofisa. je kuna ukweli kuwa wameachwa kutokana na mgomo ulifanya?wadau 2peane ushauri kwani wanasema zoez hilo linaitaji watu wenye uzoefu kama manes na walimu.watu wanajiuliza au walitoa rushwa maana nimeona mpaka housegirl wa bosi mmoja yupo ktk zoezi hilo.au haliitaji wataalam.
 
Kwani housegirl hawezi kuwa mtaalamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…