Baada ya kuairusha mpaka j4 tar 14 arafu ghafla kuaarisha mpaka tar 15 siku ya jumatano, Habari kutoka kwa watu wa dodoso refu wanasema wameambiwa wawatangazie watu wa dodoso refu kuwa wawah kesho asbh tar 13, kwasababu kesho ndo wataanza semina.
source: kutoka kwa mtu anayehudhuria semina za dodoso refu
Kumbuka huyu mtu ni wa kata ya ubungo so sina uhakika kuhusu watu wa kata zingine, plz ukipata taarifa hizi mtaarifu mwnzio