Imani bila matendo imekufaa, ni bureeeKwaiy ao wapagani vip motoni au peponi
Hiyo sensa upande wa dini ilikataliwa huko duniani,maana ya mkoloni ilionesha waislam ni 60%+,walipopeleka hiyo ya tanganyika huru mwaka 67 wakaulizwa waislam wanekumbwa na janga gani lililowapunguza kiasi hicho!!?...ndiyo ukawa mwisho wa kuweka kipengele cha dini kwenye sensa