Sensa

Amoney

New Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Hivi jamani inaingia akilini kweli pale ambapo viongozi wa serikali wanaposhindwa kuwaeleza wananchi umuhimu wa sensa na kuishia kuwapiga mkwara kuwa watakwenda jela miezi sita au faini lakini sita,je huku ni kuonyesha uwezo mdogo wa viongozi wetu?
 
si ndio elimu sasa hiyo ya kwenda jela.afu si unajua baadhi ya watu wana vichwa vigumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…