thanx for information but mie na familia yangu sihesabiwi
Na hata hivyo tumeshakuwa instructed kutohesabu mataahira
Na hata hivyo tumeshakuwa instructed kutohesabu mataahira
kwanza wewe umeanza kutumia jamii forum baada ya kupata ukarani wa sensa ni mtoto mdogo kufanya mjadala hapa, maana umember umeanza juzi, junior member duhhamna atakaehesabiwa kawambie waliokutuma wakakupa advancetuombe watu wakubali kuhesabiwa la sivyo ni balaaa