msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,786
- 5,963
HIZI NI SENTENSI 4 ALIZOZISEMA MENEJA WA DIAMOND KUHUSU DIAMOND KUZOMEWA KWENYE FIESTA..
1.sisi tumechukulia sehemu ya mashindano,uzuri sisi tuliambiwa na uongozi wa Clouds kabla ya Diamond hajapanda ilikua saa 3 kamili tukaitwa tukaambiwa kuna watu wamejiandaa kumzomea Diamond.
2.Kama uongozi tulikaa na msanii wetu na kumjenga kisaikolojia na kumwambia kuna hivi vinatokea wao walitaka aanze Davido kisha afate Diamond kupunguza watu watakaozomea tukasema hapana pangeni show yenu kama ilivyokuwa ni sehemu ya mashabiki kufurahi.
3.Hatujaathirika kwamba msanii wetu ameshuka tunapoona watu wanapiga kelele kwa ajili yako au huna sifa ile unatakiwa uangalie umekosea wapi unaenda wapi,hatuna makosa kwa mashabiki wetu.
4.Kikubwa Diamond anafanya vizuri tunatakiwa kuhamisha macho yetu tumpigie kura Diamond kwenye tuzo za Channel O Music Awards, kwa sababu mwisho wa siku chema chajiuza kibaya chajitembeza
MY OPINIONS..
Ukisoma sentensi ya kwanza utagundua kumbe kulikua na mashindano ambayo sisi hatukuyajua,na meneja wa diamond kakubali kushndwa..
MY TAKE..
Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halali,.??
nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekana kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..
CHA MSING #TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAFANIKIO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye MAFANIKIO hapa TZ.!!
Kwanini mashabiki hawamzomei Jide JAY DEE,mbona yeye ana mafanikio kuliko DIAMOND.?
Au mafanikio ni kuwachakaza bongo movies.?
Mwisho,watu hawapendezwi na tabia za diamond pamoja na majivuno yake,hata JUSTIN BEIBER kule malekani kwa sasa mashabiki wanamchukia sana kwasababu hyo,inabd abadrike..
Mfano mimi binafsi namchukia kwasababu alisema mkoani kwetu hakuna hoteli yenye hadhi ya kufikia yeye,wakat hata KOFI ANAN alikujaga mbeya na kulala kwenye hotel mojawapo hapa..sasa yeye na ANAN nan yupo juu..
DIAMOND PLATNUMZ=JUSTIN BEIBER..
1.sisi tumechukulia sehemu ya mashindano,uzuri sisi tuliambiwa na uongozi wa Clouds kabla ya Diamond hajapanda ilikua saa 3 kamili tukaitwa tukaambiwa kuna watu wamejiandaa kumzomea Diamond.
2.Kama uongozi tulikaa na msanii wetu na kumjenga kisaikolojia na kumwambia kuna hivi vinatokea wao walitaka aanze Davido kisha afate Diamond kupunguza watu watakaozomea tukasema hapana pangeni show yenu kama ilivyokuwa ni sehemu ya mashabiki kufurahi.
3.Hatujaathirika kwamba msanii wetu ameshuka tunapoona watu wanapiga kelele kwa ajili yako au huna sifa ile unatakiwa uangalie umekosea wapi unaenda wapi,hatuna makosa kwa mashabiki wetu.
4.Kikubwa Diamond anafanya vizuri tunatakiwa kuhamisha macho yetu tumpigie kura Diamond kwenye tuzo za Channel O Music Awards, kwa sababu mwisho wa siku chema chajiuza kibaya chajitembeza
MY OPINIONS..
Ukisoma sentensi ya kwanza utagundua kumbe kulikua na mashindano ambayo sisi hatukuyajua,na meneja wa diamond kakubali kushndwa..
MY TAKE..
Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halali,.??
nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekana kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..
CHA MSING #TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAFANIKIO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye MAFANIKIO hapa TZ.!!
Kwanini mashabiki hawamzomei Jide JAY DEE,mbona yeye ana mafanikio kuliko DIAMOND.?
Au mafanikio ni kuwachakaza bongo movies.?
Mwisho,watu hawapendezwi na tabia za diamond pamoja na majivuno yake,hata JUSTIN BEIBER kule malekani kwa sasa mashabiki wanamchukia sana kwasababu hyo,inabd abadrike..
Mfano mimi binafsi namchukia kwasababu alisema mkoani kwetu hakuna hoteli yenye hadhi ya kufikia yeye,wakat hata KOFI ANAN alikujaga mbeya na kulala kwenye hotel mojawapo hapa..sasa yeye na ANAN nan yupo juu..
DIAMOND PLATNUMZ=JUSTIN BEIBER..