We una wazimu wala si bure... kwani aliyesema hivyo ni mimi au mleta mada?acha kutuaminisha ujinga ww, et walijiandaa ili wamzomee, kwa hiyo walokua wamejiandaa wakaenda kuupa taarifa uongoz wa cloudz kuwa leo tutamzomea diamond?? Even a standard 3 boy can't accept ur argument coz it doesn't make sense. Heb jarb kujipanga halaf uandike kama m2 mwenye akil timamu, umati wa watu wale wote wa organise kumuzomea dangote, kikao hcho waliitisha wap? Na nan alikichair? Jipange
Watanzania wanafki sana, ukiishi kwa kuwategemea utaishia kuwa maarufu kwa skendo.
Ushaanza ujeuri wako we mtoto... watu watasema Diamond ndo kakutuma uje kuiponda Mbeya... mi simo!!!!
Haya tumesikiaaa na Mbeya kuna lifti moja tu ni kweliii
Haya tumesikiaaa na Mbeya kuna lifti moja tu ni kweliii
baba ubaya kwisha habar yake, akaroge tena
Hahaha haha haha acheni dharau bana lift moja mbeya nzima. ?
Hebu tuweke chuki binafsi pembeni tuwe wa kweli japo kidogo tu........ni kipi hasa kinachogombewa?....kwa nn domo achukiwe hivi? Ni kweli kwamba ali kiba anaimba kuliko dai? Ni kweli hawa jamaa wanaconflict au ni sisi mashabiki ndo tunashida??
We una wazimu wala si bure... kwani aliyesema hivyo ni mimi au mleta mada?
NasDaz mi mpaka sahv sielewi umepagawa nini mimi ninafurahia alikiba kumfunika diamond kwenye show..
Je ni kosa.?
Wewe unabishana eti waTZ wanachuki na diamond kisa ana mafanikio,nkakuuliza kwanini wasimchukie MBWANA SAMATA,JAY DEE,HASHIM THABEET.???
HUTOI MAJIBU YA KUELEWEKA ZAIDI YA KULALAMA BILA MSINGI WOWOTE.!!!!!
Tatzo nini.???
baba ubaya kwisha habar yake, akaroge tena
Bina acha basiiii mfyuuuuu
binamu umeona ig walivyochachawa team tandale
yaani afu ile msg aliyoandika nimesoma hadi huruma kwenye ig account yake
Aibu mtu mzima kuzomewa kama toto lililojikojolea, kama mimi ndo ndomo sihudhurii tena fiesta zao, hatumtak ndomo, kiba ndo habar ya mujini
niko nabeba mabox huku sijui msanii mwingine zaidi Diamond na Lady Jay dee..
hahahaa haaaa
kasemaje kwani. ...